Search This Blog

Wednesday 9 February 2011

CHADEMA ILIPOTOKA NJE YA UKUMBI BUNGENI DODOMA

Jioni ya Tarehe 8-2-2011 kambi ya upinzani ya Chama Cha Chadema ikiongozwa na kiongozi wao, Mheshimiwa Freeman Mbowe walitoka ndani  ya ukumbi wa bunge wakati kikao kikiendelea chini ya spika Anne Makinda kwa Madai ya kupinga kupitishwa kwa mabadiliko ya Kanuni za Bunge juu ya tafsiri rasmi ya KAMBI YA UPINZANI Bungeni.

No comments:

Post a Comment